KUTOKWA NA DAMU NYINGI WAKATI WA HEDHI (MENORRHAGIA)
KUTOKWA NA DAMU NYINGI WAKATI WA HEDHI (MENORRHAGIA). Hili ni taitizo ambalo huwakumba wanawake wengi katika nyakati tofautitofauti.
Mwanamke hutokwa na damu nyingi wakati wa hedhi pia inaweza kudumu kwa wiki moja na zaidi.
Hali hii isipopatiwa ufumbuzi huweza kuleta madhara makubwa sana kwa mwanamke ambayo hupelekea vifo.
Katika hali fulani sababu ya kutokwa na damu nyingi inaweza isijulikane.
Zipo sababu kuu zinazosababisha hali hii.
SABABU ZA MSINGI
Zifuatazo ni sababu kuu ambazo huchangia tatizo hilo.
1.Kutokuwepo kwa usawa wa vichocheo (Hormonal imbalance)
Vichocheo vya oestrogen na progesterone hutakiwa kuwa katika usawa ili viweze kufanya kazi yake ipasavyo, Matumizi ya vichocheo katika kupanga uzazi(vijiti/contraceptive pills) huweza kubadili Hali ya vichocheo na kusababisha hali hiyo kutokea
Kama hali hii itatokea ukuta wa mfuko wa mimba hutoa damu nyingi isiyokawaida.
2. Matatizo ya ovari.
Ovari ni sehemu muhimu sana katika katika kuandaa na kukuza yai na badae kutolewa likiwa kamili kuingia katika mirija ya fallopia tayari kwa safari kuelekea mfuko wa kizazi.
Kama ovari zitashindwa kutoa mayai basi tatizo huwa ni upingufu wa kichocheo kiitwacho progesterone hicho yai haliwezi kutoka kwenye ovari na hali hii husababisha damu nyingi kutoka wakati wa hedhi.
3. Uvimbe kwenye shemu ya kizazi (Fibroids)
Fibroids siyo saratani bali huwa ni uvimbe wa kawaida ambao hubaki sehemu moja (benign), ambayo hutokea katika umri wa uzazi.
Na hii husababishwa na vichocheo kutokuwa katika usawa na huweza kusababisha damu nyingi kutoka wakati wa hedhi.
4. Vimbe ndogondogo kwenye kizazi.
Huwa ni vimbe ndogo sana katika mfuko wa uzazi.
Hutokea kwa wanawake katika umri wa kuzaa kutokana na vichocheo kuongezeka.
5. Magonjwa ya kurithi.
Matatizo ya damu kutoganda kutokana na hii husababishwa na ukosefu wa vigandishi vya damu.
6. Matatizo ya kiafya.
Maambukizi katika njia ya kizazi kama Pelvic Inflammatory Diseases(PIDs)
Je nani yuko hatarini kukumbwa na hali hii?
Makundi yafuatayo yako katika hatari ya kukumbwa na tatizo hili.
1. Wale waliovunja ungo hasa mwaka mmoja wa kwanza
2.Wanawake wanaokaribia ukomo wa hedhi kati ya miaka 40-50 wako hatarini katika mabadiliko ya vichocheo.
ZIJUE DALILI NA VIASHIRIA VYA TATIZO HILI (Menorrhagia)
1.Kutumia pads moja ama zaidi kila saa kwa mfululizo wa masaa kadhaa.
2. Uhitaji wa kuamka usiku kubadili pad.
3.Damu kutoka nyingi zaidi ya siku nne wakati wa hedhi.
4.Kutoa mabonge ya damu wakati wa hedhi zaidi ya siku moja.
5.Kutoshiriki shughuli za kila siku kutokana na damu nyingi kutoka
6.Dalili za kuishiwa damu, kama kuchoka, ama kupumua kwa shida.
MADHARA YANAYOWEZA KUTOKEA ENDAPO HATUA MADHUBUTI HAZITACHUKULIWA.
1.Upungufu wa iron ambayo ni madini muhimu katika damu ambapo husaidia katika kubeba hewa ya oksijeni, kukosekana ama kupungua kwake maisha huwa hatarini.
2. Maumivu makali wakati wa hedhi ambayo wakati mwingine huhitaji kutumia dawa za kutuliza maumivu.

Sikuwahi kuamini kitu kama hiki kingeweza kunitokea hadi ndoa yangu ilipokaribia kuisha kabisa.
ReplyDeleteMume wangu alibadilika ghafla. Mwanaume ambaye hapo awali alinipenda na kunijali akawa baridi, asiyejali, na mwenye hasira bila sababu. Aliacha kuonyesha nia katika ndoa yetu, akaniepuka kabisa, na hatimaye akaniomba talaka. Nilivunjika moyo kwa sababu nilimpenda mume wangu kwa moyo wangu wote.
Mambo yalizidi kuwa mabaya aliponizuia kila mahali — WhatsApp, Facebook, Instagram — kana kwamba sijawahi kuwepo. Nililia kila usiku nikijiuliza nilifanya nini kibaya.
Siku moja, rafiki wa karibu alinitembelea na kunitambulisha kwa mtu wa kiroho anayeitwa Dkt. Dawn. Kwa kweli, mwanzoni nilikuwa na shaka, lakini niliamua kumweleza kila kitu kwa sababu sikuwa na chochote cha kupoteza.
Dkt. Dawn alinisomea mambo ya kiroho, na nilishtuka. Alifichua siri kuhusu ndoa yangu na maisha yangu binafsi ambayo hakuna mtu aliyejua. Kila kitu alichosema kilikuwa sahihi 100%. Kisha akafichua kwamba mwanamke mwingine alikuwa amemloga mume wangu. Mwanamke huyu alikuwa akimtembelea mara nyingi, na kwa upumbavu niliamini ilikuwa kuhusu kazi tu.
Dkt. Dawn alinisaidia kuvunja uchawi na akafanya ibada yenye nguvu ya kurejesha upendo kwa ndoa yangu.
Kwa mshangao wangu mkubwa, muda mfupi tu baadaye, mume wangu alinifungulia kizuizi mwenyewe na kuanza kunipigia simu na kunitumia ujumbe mwingi, akiniomba nimsamehe na nirudi nyumbani. Mwanzoni nilimpuuza kwa sababu ya maumivu aliyonisababishia, lakini hatimaye alirudi nyumbani akiwa na zawadi na machozi machoni mwake akiomba nafasi nyingine.
Leo, ndoa yetu ni imara zaidi, yenye furaha zaidi, na yenye amani zaidi kuliko hapo awali. Mapenzi kati yetu yanahisi upya kabisa.
Kana kwamba hiyo haitoshi, Dkt. Dawn baadaye alinisaidia na ibada ya ujauzito kwa sababu tulikuwa tumejitahidi kwa miaka mingi kupata watoto. Ndani ya wiki 8, nilipata mimba kiasili, na leo tumebarikiwa na wavulana wawili wazuri wenye afya njema.
Nitaendelea kushukuru milele.
Ukihitaji: Uchawi wa mapenzi wa kuungana tena na mpenzi wako wa zamani
. Usaidizi wa kurejesha ndoa
. Tamaduni za ujauzito za kupata mimba
. Usaidizi wa kiroho kwa kesi za mahakamani au kupona urithi
. Mwongozo na ulinzi wa kiroho
Ninapendekeza sana Dkt. Dawn. Ushuhuda wangu ni wa kweli, na furaha yangu leo ni uthibitisho. WhatsApp yake: +2349046229159. dawnacuna314@gmail.com