Zarithebosslady amua kumuacha diamond platinumz

Aliyekuwa  mke wa diamond platinum the bosslady zarri ..
Amefunguka kupitia ukurasa wake wa instagram  kuachana na aliyekuwa mme,baba watoto wake ...DIAMOND PLATINUMZ. .sababu ni cheating  anazo fanya mme wake huyo .aidha zarri kasema amekuwa kwenye industry  ya mziki na intertainment  kwa jumla kwa zaidi  ya miaka 12.kasema kuachana na diamond haitenganishi uhusiano wa uzazi kati yao ila wanatengana kwa mahusiano ya kimapenzi pekee...aidha kasisitiza kuendelea kuwapa malezi mema wanae,na kuwa mfano kwenye jamii kwa kuendelea  kuhamasisha wanawake na wasichana kupambana na maisha ......


No comments