KUTANA NA FUNDI WA KUTENGENEZA TOFALI IMARA YA PLASTIC
Tumaini P. Bagambilana ni mkazi wa kata ya kalangalala mtaa wa mbugani mkoa wa geita ambaye ameamua kutumia plastiki chakavu kutengeneza bidhaa mbali mbali kama tofari ndogondogo zijuliikanazo kama (peviki block)
Atakuwa akionekana kila siku jumapili kwenye youtube chanel yetu ya MKEMIA MEDIA ...
SUBSCRIBE KWA HABARI MBALIMBALI
Post a Comment